JamiiMfumuko wa bei za bidhaa Uganda03:12This browser does not support the video element.Jamii25.05.202225 Mei 2022Bei ya mafuka imepanda kwa asilimia 40 na matarajio na wananchi ilikuwa kwamba serikali ingeingilia kati. Lakini matarajio hayako tena baada ya rais Museveni kutamka kuwa hatua yoyote ya kupunguza ushuru itaporomosha uchumi wa nchi.Nakili kiunganishiMatangazo