1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo

01:49

This browser does not support the video element.

24 Juni 2024

Wafanyabiashara wa soko la kimataifa la Kariakoo nchini Tanzania, wamegoma wakiishinikiza serikali kutatua kero zao. Baadhi ya kero hizo ni utitiri wa kodi, biashara ndogo za wazawa kufanywa na wageni. Pia wanalalamikia usumbufu wa maafisa wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW