SiasaMhamiaji apongezwa kwa uokoaji, apewa uraia wa Ufaransa00:41This browser does not support the video element.SiasaGrace Kabogo28.05.201828 Mei 2018Mhamiaji kutoka Mali aliyepanda jengo la ghorofa nne kumuokoa mtoto mjini Paris, Ufaransa amepewa uraia wa Ufaransa baada ya kukutana na Rais Emmanuel Macron. Papo kwa Papo 28.05.2018 Nakili kiunganishiMatangazo