Miaka 13 ya ukombozi Ruanda05.07.20075 Julai 2007Rwanda imeadhimisha siku ya ukombozi kukumbuka miaka 13 wakati majeshi ya RPF yakiongozwa na raia wa sasa Paul Kagame yalipoifukuza madarakani serikali ya wakati pamoja na wapiganaji wa intarahamwe na kutwaa nchi.Nakili kiunganishiMatangazo