1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miaka 25 tangu mashambulizi ya kigaidi Nairobi na Dar

03:33

This browser does not support the video element.

7 Agosti 2023

Imetimia miaka 25 tangu kuripuliwa kwa balozi mbili za Marekani Afrika mashariki katika nchi ya Tanzania na Kenya kufuatia mashambulizi ya kigaidi. Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umeandaa kumbukumbu ya siku hiyo kuwakumbuka waliopoteza maisha na waliojeruhiwa wakiwemo wafanyakazi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW