1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miaka minne ya chama cha CNDD-FDD madarakani nchini Burundi

26 Agosti 2009

Ni miaka minne leo tangu Chama cha CNDD-FDD kukamata madaraka kikamilifu huko Burundi.

Kuidurusu miaka minne hiyo, Othman Miraji alimpigia simu punde hivi Karenga Ramadhan, mmoja wa waasisi wa chama hicho na aliyewahi kukamata wadhifa wa uwaziri katika serikali ya chama hicho. Alianza kusema mafanikio na kasoro za serikali ya sasa ya huko Bujumbura:

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW