EURO 2024: Uswisi wafuzu baada ya kutoka sare na Ujerumani
24 Juni 2024![Euro 2024 Ujerumani yalazimishwa sare ya 1-1 na Uswisi](https://static.dw.com/image/69452085_800.webp)
Matangazo
Katika mechi nyingine, Hungary waliicharaza Scotland katika dakika za nyongeza bao 1-0. Wakiwa na pointi tatu na tofauti ya mabao, Hungary sasa watalazimika kusubiri ili kujua iwapo watafika hatua ya mtoano.
Soma pia: Shirika la reli la Ujerumani linanufaika kwa ongezeka la abiria katika kipindi hiki cha Euro 2024
Leo Jumatatu, Albania watashuka dimbani na Uhispania, huku Croatia wakimenyana na Italia.