1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miriam Yohana binti mtunza familia

06:01

This browser does not support the video element.

30 Desemba 2020

Licha ya maradhi ya kifafa alionayo, Miriam Yohana analo jukumu la kulea wadogo zake watatu, mama yake mwenye tatizo la Afya ya akili kutokana na babake kuwa mbali na familia kwa kipindi kirefu bila mafanikio. Khadija Khalifa amemtembelea na kuzungumza nae. #kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW