Migogoro
Misaada yapelekwa kwenye Wakurdi wengi Syria
25 Januari 2026
Matangazo
Hayo yanajiri muda mfupi baada ya jeshi nchini humo kutangaza kurefushwa kwa muda wa makubaliano ya kusitisha vita kati yake na vikosi vinavyoongozwa na wapiganaji wa Kikurdi (SDF).
Wanaharakati wapaza sauti kuhusu hali mbaya ya kiutu
Wanaharakati wamekuwa wakionya kuwa hali ya kiutu ni mbaya katika mji huo wenye ghasia ulio mpakani na uturuki. Hali hiyo imetokana na mapigano ya hivi karibuni kati ya vikosi vyenye uhusiano na serikali ya Syria dhidi ya wanamgambo wa SDF.