Mitazamo tafauti juu ya Muungano haijaigawa SMZ - Seif
15 Januari 2013Matangazo
Katika mahojiano maalum na Mohammed Khelef wa Deutsche Welle, kiongozi huyo anayeshikilia nafasi ya pili kwa umuhimu visiwani Zanzibar, amesema ni haki ya kila kiongozi kuwa na mtazamo wake kuhusiana na Muungano, na kwamba Serikali ya Zanzibar hadi sasa haina msimamo wake kuelekea suala hilo.
Kusikiliza mahojiano hayo, tafadhali bonyeza alama za spika za masikioni hapo chini.
Mahojiano: Mohammed Khelef/Seif Sharif Hamad
Mhariri: Josephat Charo