1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mjumbe wa ZEC apinga uchaguzi kurudiwa Zanzibar

Elizabeth Shoo10 Februari 2016

Ayoub Bakari ni miongoni mwa wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wanaosema uchaguzi wa Oktoba ulikuwa halali kisheria na hivyo hauwezi kufutika. Msikilize katika mahojiano kwenye Kinagaubaga.

Ayoub Bakari mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC
Picha: DW/M. Khelef

[No title]

This browser does not support the audio element.