1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkaa uliotengenezwa kwa kinyesi Nakuru

30 Agosti 2018

Gavana wa kaunti ya Nakuru amezindua mradi wa mkaa utokanao na kinyesi cha binadamu, maarufu kama makaa dot com. Mkaa huo unaotumiwa kupikia majumbani na kwenye shughuli za viwanda umetajwa kuwa uvumbuzi wa kipekee.

Mkaa
Picha: DW

Human waste charcoal - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Nia ya mradi huu ni kuhifadhi mazingira, kupunguza gharama ya matumizi ya mkaa na kuimarisha hali ya afya pamoja na usafi. Ni mradi ambao wadau wa kaunti ya Nakuru wanapanga kuupigia debe kote nchini kwa manufaa ya wengi. Mwandishi wetu kutoka Nakuru Wakio Mbogho ana taarifa zaidi.
 

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW