1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkenya anayetatua tatizo la uhaba wa vitanda vya hospitali

02:37

This browser does not support the video element.

Angela Mdungu
18 Agosti 2020

Wakati hospitali zikionekana kuelemewa na wagonjwa wa COVID-19 kutokana na uhaba wa vitanda, Kijana Meshack Odhiambo Otieno amejikita katika kutengeneza vitanda vya hospitali ili kusaidia kupambana na janga hilo