1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano uliyofanyika Afrika Kusini kuhusu hali ya kisiasa visiwani Komoro

11 Julai 2007

Huko visiwani Komoro pande mbili zinazopingana ambazo ni serikali ya umoja wa Komoro na utawala wa kisiwa cha Anjouan, wamekubaliana kutatua mgogoro unaovikumba visiwa hivyo katika mkutano wake uliyofanyika huko Afrika Kusini.

Katika mkutano huo masuala mbali mbali yalijadiliwa ikiwa ni pamoja na kufanyika kwa uchaguzi wa rais kisiwani Anjouan.

Abdulrahman Baramia anaripoti zaidi kutoka Komoro.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW