Mkutano wa Baraza tendaji la Umoja wa Afrika umeshindwa kujadili suala la Zimbabwe
8 Mei 2008![](https://static.dw.com/image/2421964_800.webp)
Matangazo
Ni sababu gani zilizochangia kushindwa kwa Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wa Mambo ya Nje katika Umoja huo wa Afrika.
Scholastica Mazula amezungumza na naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Balozi Seif Idd.