1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa Baraza tendaji la Umoja wa Afrika umeshindwa kujadili suala la Zimbabwe

8 Mei 2008

Mkutano wa Baraza tendaji la Umoja wa Afrika -AU , umemalizika mjini Arusha nchini Tanzania, lakini ulishindwa kulijadili suala la mgogoro wa Kisiasa nchini Zimbabwe.

Rais Robert Mugabe wa ZimbabwePicha: AP

Ni sababu gani zilizochangia kushindwa kwa Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wa Mambo ya Nje katika Umoja huo wa Afrika.

Scholastica Mazula amezungumza na naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Balozi Seif Idd.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW