1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa Kanisa la Kiprotestanti jijini Cologne,Ujerumani

8 Juni 2007

Mkutano wa kanisa la Kiprotestanti unaendelea katika jiji la Cologne hapa nchini Ujerumani. Mkutano huo washiriki ni vijana kutoka sehemu mbali mbali.

Baadhi ya waliohudhuria mkutano wa kanisa la kiprotestanti wakipumzika.
Baadhi ya waliohudhuria mkutano wa kanisa la kiprotestanti wakipumzika.Picha: AP
Zainab Aziz amezungumza na Maja Dreyer ambaye anahudhuria mkutano huo na kwanza alimtaka aeleze mambo yanayoendelea huko.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW