1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa kihistoria kati ya Trump na Kim

00:51

This browser does not support the video element.

Saumu Mwasimba
11 Juni 2018

Ulimwengu unausubiri mkutano wa kihistoria kati ya rais wa Marekani na kiongozi wa Korea Kaskazini utakaofanyika Jumanne nchini Singapore.Viongozi wote wameshafika na maandalizi ya mkutano huo yanaendelea.Ni mara ya kwanza Trump atakutana uso kwa macho na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW