Ulimwengu unausubiri mkutano wa kihistoria kati ya rais wa Marekani na kiongozi wa Korea Kaskazini utakaofanyika Jumanne nchini Singapore.Viongozi wote wameshafika na maandalizi ya mkutano huo yanaendelea.Ni mara ya kwanza Trump atakutana uso kwa macho na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini Kim Jong Un.