1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa kimataifa wa wanawake nchini Rwanda

22 Februari 2007

Leo alhamisi unaanza mkutano wa kimataifa wa wabunge wanawake mjini Kigali nchini Rwanda. Mkutano huo utajadili masuala yaliyofikiwa juu ya usawa wa jinsia kama anavyoripoti mwandishi weti wa Kigali Christopher Karenzi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW