Mkutano wa Uchumi duniani wafanyika nchini Tanzania05.05.20105 Mei 2010Mkutano wa uchumi duniani ambao unazingatia nafasi ya Afrika, unaanza leo mjini Dar es salaam.Nakili kiunganishiJiji la Dar Es Salaam kunakofanyika mkutano wa Uchumi dunianiPicha: DW /Maya DreyerMatangazoWajumbe watazingatia jinsi Afrika inavyoweza kujikwamua kimaendeleo. Mwandishi wetu mjini Dar es salaam George Njogopa ametutumia taarifa zaidi. Mtayarishaji:George Njogopa Mpitiaji:Sekione Kitojo