1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa UNICEF na UNFPA wajadili vifo vya mama wajawazito wakati wa kujifungua

19 Aprili 2007

Mkutano wa kimataifa unaojadili vifo vya akina mama wakati wa kujifungua na watoto kuanzia umri wa siku moja hadi miaka mitano, unaendelea mjini Dar es Salaam,Tanzania wakishiriki watafiti na wakung kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Mkutano huo umeandaliwa kwa pamoja na Shirika la watoto la umoja wa mataifa UNFPA.

Mwandishi wetu Christopher Buke anaripoti zaidi kutoka Dar es Salaam,Tanzania

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW