1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa usalama kufanyika kesho mjini Munich

Josephat Charo9 Februari 2007

Urusi na mataifa ya magharibi yanatariwa kujadili kwa kina maswala ya nishati ya silaha kwenye mkutano wa kitaifa kuhusu usalama utakaofanyika kesho mjini Munich hapa Ujerumani. Rais wa Urusi Vladamir Putin anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa 43 kuhusu usalama kama mshirika wa matafa ya magharibi na ambaye sera zake za kisiasa zimekuwa zikilitiliwa shaka.

Rais Vladamir Putin wa Urusi
Rais Vladamir Putin wa UrusiPicha: AP
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW