1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa uwekezaji mjini Addis Ababa,Ethiopia

13 Machi 2007

Wataalamu kutoka nchi za kusini mwa jangwa la sahara wanakutana kwa siku mbili mjini Addis Ababa,Ethiopia katika mkutano unaojadili namna ya kuboresha uwekezaji na kuvutia mitaji kutoka nje kwa ajili ya maendeleo ya bara la Afrika.

Ukame nchini Ethiopia
Ukame nchini EthiopiaPicha: AP
Kwa mengi zaidi mwandishi wetu Anaclet Rwegayura anaripoti zaidi kutoka Addis Ababa.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW