Mkuu wa IMF azuilwa na polisi
15 Mei 2011![International Monetary Fund (IMF) Managing Director Dominique Strauss-Kahn takes part in the opening news conference for the annual IMF and World Bank meetings, Thursday, Oct. 7, 2010, in Washington. (AP Photo/Haraz N. Gha](https://static.dw.com/image/6092420_800.webp)
Matangazo
Hapo awali, polisi ilimtoa Strauss-Kahn kutoka ndege aliyokuwa amepanda kuelekea Paris, Ufaransa, akiwa kwenye uwanja wa ndege wa John. F. Kennedy, jijini New York.
Strauss-Kahn, ambaye ni mzaliwa wa Ufaransa, anaonekana kama miongoni mwa wagombea wa urais wa Ufaransa katika uchaguzi wa mwakani.