1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MOGADISHOU:Mapambano yapambamoto nchini Somalia

1 Aprili 2007

Mapambano makali yameingia katika siku ya tatu mjini Mogadishu ambapo majeshi ya Ethiopia yanapambana vikali na wapiganaji wa kiislamu. Mapigano yalishtadi baada ya helikopta ya Ethiopia kuangushwa na wapiganaji wa kiislamu. Wanajeshi wawili waliokuwamo katika ndege hiyo waliuawa.

Serikali ya Ethiopia imesema majeshi yake yalijibu shambulio hilo kwa kuwaua waasi 200.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW