1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MOGADISHU: Walinzi wa amani wameuawa Somalia

16 Mei 2007

Nchini Somalia,si chini ya wanajeshi 4 wa Uganda wameuawa na wengi wengine wamejeruhiwa baada ya vikosi vya amani vya Umoja wa Afrika kushambuliwa katika mji mkuu Mogadishu.Kwa mujibu wa msemaji wa Umoja wa Afrika,bomu liliripuliwa kando ya barabara,ulipopita mlolongo wa magari ya vikosi vya amani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW