1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mombasa na mwezi wa Ramadhani

03:16

This browser does not support the video element.

12 Aprili 2023

Ingawa mji wa Mombasa umepitia mabadiliko mengi lakini kisichobadilika ni utamaduni wake tajiri wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kuanzia aina tofauti za vyakula na vinywaji na mambo mengine kedekede. Unataka kujua zaidi kinachofanyika huko wakati huu? Ungana na mwenzetu Fathiya Omar kwenye video hii akikutembeza katika mji huo wa Pwani.#Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW