Moto katika mlima Kenya
20 Machi 2012Matangazo
Sekione Kitojo amezungumza na msemaji wa idara ya huduma kwa wanyamapori nchini Kenya, "Kenya Wildlife Service", Paul Udoto na alitaka kwanza kujua ni athari kiasi gani imetokana na moto huo.
(Kusikiliza mazungumzo hayo tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni)
Mwandishi : Sekione Kitojo
Mhariri:Abdul-Rahman Mohammed