1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MPALESTINA APIGWA RISASI NA ISRAEL

16 Novemba 2003

GAZA: Mpalestina mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na vikosi vya Israeli mapema asubuhi ya leo kusini mwa Ukanda wa Gaza.Mtoto wa kiume wa miaka 8 alijeruhiwa katika opresheni hiyo iliyoanza kabla ya alfajiri.Kwa mujibu wa mashahidi na duru za tiba nyumba moja pia iliteketezwa.Jeshi la Israel limethibitisha kuwa mtu mmoja alipigwa risasi katika opresheni ya kutaka kumkamata Mpalestina mmoja.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW