JamiiAfrikaMpango wa ufugaji nyuki ili kuokoa mashamba04:07This browser does not support the video element.JamiiAfrika29.04.202229 Aprili 2022Wadau katika sekta ya mazingira wamezindua mpango wa ufugaji nyuki kwenye mipaka ya mashamba ya wakulima na mbuga ya Wanyama pori ya Tsavo, ili kukomesha hasara ambazo zimeshuhudiwa kwa muda mrefu eneo la Taita Taveta. Nakili kiunganishiMatangazo