Mripuko wa bomu umeua watu 13 Irak
23 Novemba 2007Matangazo
Hadi watu 13 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa leo hii,katikati ya soko mjini Baghdad.Maafisa wa Kiiraki wamesema,mripuko huo pia umewajeruhi watu 50 wengine.Soko hilo huwavutia watu wengi na mara nyingi limeshuhudia mashambulizi ya aina hiyo.