1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mripuko wa bomu umeua watu 13 Irak

23 Novemba 2007

Hadi watu 13 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa leo hii,katikati ya soko mjini Baghdad.Maafisa wa Kiiraki wamesema,mripuko huo pia umewajeruhi watu 50 wengine.Soko hilo huwavutia watu wengi na mara nyingi limeshuhudia mashambulizi ya aina hiyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW