1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

MSAADA WA DHARURA KWA WAKIMBIZI:

14 Januari 2004

CAIRO: Shirika la Umoja wa Mataifa-Mpango wa Chakula Duniani(WFP)limetoa muito wa kupewa Dolla milioni 11 ili kuweza kuwasaidia kwa dharura maelfu ya wakimbizi wa Kisudani wanaoishi kambini nchini Chad.Wakimbizi hao wameyakimbia mapigano yanayozidi kushika kasi katika eneo la Darfur magharibi mwa Sudan.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW