1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msafara wa Umoja wa Mataifa katika kambi za wakimbizi nchini Kongo

15 Mei 2007

Mwakilishi maalum wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw.William Swing katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, kuzitembelea kambi za wakimbizi nchini humo kujionea hali halisi ilivyo.

Wakimbizi nchini Kongo
Wakimbizi nchini KongoPicha: AP
Miongoni mwa kambi hizo ni katika mkoa wa Kivu ya Kaskazini, kama anavyoripoti mwandishi wetu John Kanyunyu aliyekuweko katika msafara huo.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW