1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msanii aliyejitosa kutetea haki za Maalbino

03:01

This browser does not support the video element.

16 Agosti 2024

Mutalemwa Jason kwa jina la kisanii Mc Nash kutokea Tanzania ni msanii wa muziki wa kufokafoka au Hip Hop. Ametumia jukwaa hilo kuchangia mageuzi ya jamii yake. Nash anapambana kuzima vitendo vya ukatili, mauaji na utekaji nchini Tanzania. #kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW