1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mshauri wa Nkurunziza avamiwa

Yusra Buwayhid
29 Novemba 2016

Willy Nyamitwe, mshauri mkuu wa rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, amelazwa hospitalini baada ya kuponea chupu chupu jaribio la kuuwawa aliposhambuliwa na watu wenye silaha wakati akielekea nyumbani.

Mshauri wa Rais Pierre Nkurunziza, Willy Nyamitwe
Picha: DW/J. Johannsen

mmt J2 29.11.2016 Burundi Willy Nyamitwe - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW