1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mshindi wa Tuzo ya Ujerumani kwa Afrika

01:09

This browser does not support the video element.

23 Mei 2018

Gerald Bigurube ametunikiwa tuzo ya Ujerumani kwa Afrika pamoja na Mmalagasi Clovis Razafimalala kwa kazi zao zinazohusika kuyalinda mazingira. Bigurube amekuwa akiwalinda wanyama pori na mazingira katika maisha yake yote sababu iliyolifanya jopo la wataalamu 26 kuamua kumpa sauti pamoja na mwenzie wa Madagascar anayetetea misitu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW