1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana Jasiri: Rafat Ally, mwandishi chipukizi Tanzania

04:37

This browser does not support the video element.

29 Desemba 2023

Rafat Ally angali binti mdogo lakini tayari ameshaanza kutimiza baadhi ya ndoto zake maishani, ikiwa ni pamoja na kuwa mwandishi wa vitabu. Kitabu chake cha kwanza ambacho kimeshachapishwa kinaitwa 'The First female President' kinamuangazia rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Mtangazaji wetu chipukizi Mitchelle Ceaser anaangazia juhudi za Rafat kwenye 'MsichanaJasiri.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Vidio zetu

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW