1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msichana Jasiri: Shadya Kitenge, mbunge wa viti maalum UDSM

04:24

This browser does not support the video element.

4 Aprili 2025

Shadya kitenge ni mbunge wa viti maalum katika chuo kikuu cha Dar es Salaam. Shadya amekuwa katika mstari wa mbele kuwahamasisha wasichana wenzake kujiamini na kuthubutu kuwania nafasi za uongozi. Amekuwa alama na ushawishi kwa wasichana wengine kutamani kuwania nafasi za uongozi mbali na chuo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW