1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mhamasishaji wa afya ya akili mitandaoni

03:57

This browser does not support the video element.

1 Novemba 2024

Janeth ni msichana wa miaka 17 anayetumia mitandao ya kijamii kuwaelimisha vijana juu ya masuala ya afya ya akili na changamoto wanazokabiliana nazo. Japo vijana wengi hutumia mitandao, si wote ambao wanamuelewa. Lengo lake kuu ni kuona vijana wanatumia mitandao ili kuelimika na kufikia au kuzikamata nyadhifa mbalimbali.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW