Utamaduni
Msikiti wa kiliberali Ujerumani
22 Juni 2017
Matangazo
Msikiti wa kiliberali ambao umeanzishwa mjini Berlin unawaruhusu watu wote waume kwa wanawake kuchanganyikana wanaposwali, huku wanawake wakiruhusiwa kuwa maimamu na hata kuadhini, na si lazima wafunike vichwa kwa mitandio. Hata hivyo msikiti huo umezua utata mwingi ndani na nje ya Ujerumani, huku baadhi ya viongozi wa kidini wakisema unaenda kinyume na uislamu. Tazama vidio hii ujue mengi