1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtambue Joe Kadenge gwiji la soka Kenya

6 Februari 2014

Mchezaji wa zamani mashuhuri wa soka nchini Kenya amesema anapenda watu wote nchini humo wawe wamoja na kutobaguana kwa misingi ya kikabila.

Joe Kadenge Fußballlegende aus Kenia
Joe Kadenge gwiji la soka kutoka KenyaPicha: DW/R. Kyama

"Najivunia kuwa Mkenya sitaki kutambulishwa kwa kabila langu" Ni maneneo ya mwanasoka wa zamani wa Kenya Joe Kadenge, ambayo yanaoesha upendo kwa taifa lake na nia ya kufuta kabisa ubaguzi wowote wa kikabila nchini humo. Kadenge ambae alisakata kabumbu na kuwika katika medani ya soka miaka ya 1950 katika eneo la Afrika Mashariki alizungumza na mwandishi wa DW nchini Kenya Reuben Kyama. Kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW