1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtandao wa intaneti unabadilisha maisha ya watu mjini Lagos

3 Desemba 2015

Katika jiji la Lagos nchini Nigeria, zaidi ya teksi 250 zimewekwa mtandao wa intaneti. Wateja wanaweza kuutumia huku wakiwa wamekwama katika foleni za magari.

Africa on the Move Smart taxis
Picha: DW

'Smart taxis' of Lagos

03:13

This browser does not support the video element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW