1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Janga

Mto Kongo wafurika, wakazi wahangaishwa na mafuriko

02:29

This browser does not support the video element.

15 Januari 2024

Baadhi ya wilaya za Kishansa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefunikwa na maji baada ya mvua kubwa kusababisha kingo za mto Kongo kupasuka. Kina cha maji kimeongezeka na mafuriko yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 300 miezi kadhaa iliyopita. Hali sio nzuri huko. Jionee mwenyewe kwenye video hii.😔

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW