1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Museveni na Kabila wajadili usalama

5 Agosti 2016

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, na mwenzake wa DRC, Joseph Kabila, wamekubaliana kushirikishana taarifa za kijasusi ili kupambana na makundi ya waasi kama M23 na ADF. Wamekutana katika mbuga ya wanyama DRC.

Marais Joseph Kabila na Yoweri Museveni
Picha: Getty Images/AFP/K. Maliro

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW