Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekamilisha mkutano wa kilele mjini Brussles kwa kudai haki zaidi kwa raia wa umoja huo wanaoishi Uingereza, Rais Trump asema hajawahi kurekodi mawasiliano yake na mkuu wa zamani wa FBI na Alexis Sanchez aweka historia katika dimba la Kombe la Mabara