1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Muuguzi awasaidia wanawake wa Ethiopia waliorudi nyumbani

01:03

This browser does not support the video element.

31 Julai 2017

Muuguzi mahiri Abay Kassahun amejitolea katika kazi yake kuwasaidia wanawake waliokabiliwa na mateso katika nchi za kigeni walikokwenda kutafuta maisha mazuri. Mbali na msaada wa kisaikolojia, wengine wanahitaji ushauri wa afya. Hata huwatembelea wateja wake nyumbani kwao. Kazi yake imempa jina la utani:Muuguzi mtembezi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW