Muungano wa Tanganyika na Zanzibar watimiza miaka 47
26 Aprili 2011
Watanzania waadhuimisha miaka 47 ya Muungano wa zilizokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar hapo mwaka 1964, kwa sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Amani, mjini Zanzibar.
Matangazo
Ili kupata picha kamili ya jinsi mambo yalivyokuwa, Josephat Charo amezungumza na na mwandishi wetu wa huko, Salma Said, ambaye amehudhuria sherehe hizo.
Mahojiano: Josephat Charo/Salma Said Mhariri: Othman Miraji