1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroIran

Iran: Mashambulizi, Kauli tata na Hatma Isiyoeleweka!

18:39

This browser does not support the video element.

26 Machi 2026

Hata baada ya Rais Donald Trump kudai kuwa Marekani iko kwenye mazungumzo na Iran ili kumaliza mgogoro huo, Iran imekanusha vikali kuwepo kwa mazungumzo yoyote. Kwenye uchambuzi huu tunachunguza malengo ya kila upande, sababu za mkanganyiko, na mustakabali wa mzozo huu unaotikisa Mashariki ya Kati.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW