1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mvutano waongezeka NASA na Jubilee

16 Februari 2018

Ni baada ya chama tawala cha Jubilee kushikilia kuwa kina haki ya kulalamikia utendaji wa idara ya mahakama. Upinzani unaoongozwa na NASA unaituhumu serikali kuu kwa kuimaliza nguvu idara ya mahakama.

Raila Odinga
Picha: picture-alliance/Anadolu Agency/B. Jaybee

J2 1602 Kenya political Wrap up - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW