1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Oktoba 7: Jinsi shambulio la Hamas lilivyofanyika

02:23

This browser does not support the video element.

7 Oktoba 2024

Mwaka mmoja uliopita, Israel ilikumbwa na mauaji mabaya zaidi ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika historia yake ya wakati huu. Itakumbukwa Oktoba 7, 2023, Kundi la Hamas lilifanya shambulio la kushtukiza kutoka Gaza ambalo liliua takriban watu 1,200 na kuzusha mshtuko kwa taifa hilo kwa ujumla.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio