1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamke anayefundisha watoto wodini

02:36

This browser does not support the video element.

14 Desemba 2022

Upendosia Peter Moshi ni mwalimu wa shule ya awali ambaye amejikita kuwafundisha watoto waliolazwa wodini kwa kipindi kirefu na wanaougua maradhi sugu yakiwemo saratani. Ana shauku ya kuona watoto wanapata elimu bila kujali changamoto wanazopitia na kuwafanya wazazi kutopoteza tumaini kuhusu hatma za watoto wao.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW